Isaiah 66:1

Hukumu Na Matumaini

1 aHili ndilo asemalo Bwana,

“Mbingu ni kiti changu cha enzi,
nayo dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu.
Iko wapi nyumba mtakayoijenga kwa ajili yangu?
Mahali pangu pa kupumzikia patakuwa wapi?
Copyright information for SwhNEN